#ebitoke #mlela
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
@rachaelsabiti56155 years agoEbitoke you need to be strong my dear youre so beautiful than that girl and youre still young. 35
@
@mgenisuleimani91735 years agoPole sana dadaangu ndowalivo baadh ya wanaume unapomsaidia kwakilakitu baadae anakuumiza km ivyo.
@
@marthaemmanuel33235 years agoEbitoke umefanya vzr sana umetoa onyo kwa wanaume wanaopenda kuchezea hisia za watu. 2
@
@boazjoseph21755 years agoUnaweka mafuta nini dadeki kinoboyz mpo vizuri. 8
@
@sarapaul33665 years agoYanii kile kiwigi ulivyo kinyofoa kama mboto mzee wakiwigi nyofoa kiwigi dah! Ebitoke umejua kunikosha mama dai vyako. 44
@
@joviaajuna45445 years agoHongera sana dada ebitoke kaza buti na vitu vyako ataludisha.
@
@musaalfani93035 years agoMwana haluna nmekukubali mkali endelea kuwakilisha toka enzi hzo kwa katika im real proud of u bro. 1
@
@asiansky47865 years agoEbi pole sana mdogo wangu haoo ndowanaume mie dada yako niko nje yanchi natafuta maisha ishu yako imenitachi sana. Mimi yalinikuta baada yakuwa namausiano. ...Expand25
@
@rich30515 years agoTeam kipigo oyeee tuko pamoja dada ebitoke usijali allah atakusaidia.
@
@kamgomoli36505 years agoIla kiibitoke kinaonekana kinaakili kwa mbali! 7
@
@linahchuwa45065 years agoNiunge na mm tuko pamoja team kipigo waoyoo, wanaume mtatukoma. 4
@
@jamlaashiri3725 years agoPole uwapende tena wasanii wa bongo wanapenda kulishwa.
@
@theresiajustine26715 years agoHahahahahaha! Tim kipigo safi saana, nampak mkome. 2
@
@shakiraissa79435 years agoHata sio ujinga mapenzi yana ngv sana pole mamy. 1
@
@asiakheir64065 years agoHa mtangazaji umenifurahisha unaogopa kipigo ebitoke ukoju! 5
@
@atuganileswedy48305 years agoMtangazaji sauti yako inanivuruga kichwa. 9
@
@hitrelgustavo98875 years agoYan we uyo umemuonea uluma ivi ningekua mimi yani mikojo angeita juice ya embe angenitambua vizuli. 8
@
@deboramrema28615 years agoNa mm mataka kuungana na hiyo timu kipigo. 21
@
@aishaa66645 years agoNdugu yng ebi pole lkn ao ndio wanaume hawabebeki ikisha wanateleza pole sana. 3
@
@johaynamohamed32445 years agoNi kweri kabisa. Mana siku izi wanawake tunazaraulika sana. 3
@
@franktimothkisimbo53545 years agoPolee saan mm nimefurahi zaidi kumvua wigi. Msivae mawigi mtaumbuka.
@
@khalidsalum17405 years agoNazijuwa hisia nazielewa pia hia na naheshimu pia kwani ukiwacha kipigo kiutu sii poa na kiungwana piaa. 11
@
@nakintijedancilanakintijed49655 years agoNakubali ebitok wape vichapo uyo mshenzi mlela ajuwi kujinunuliya viatu mlela hanakitu anajuwa kudanga uyo mlela atakufa na ukimwi mlela ni. Boya. Uyo ni maryoo.
@
@neemaantoni96845 years agoNimependa msimamo wako mungu azidi kukulinda.
@
@hawapascal78835 years agoOyoo tim pambeee hy bila shaka niunge kuna mbwa 1 hivi anasumbua akili ya mdogo angu wanaume mnaopenda kuchezea wasichana popote pale ni mtaisoma mwaka huu.
@
@veenndigwa75175 years agoOyooh, niunge mama tuwanyooshee piga kabxa.
@
@farajiyapesa80475 years agoMashirika ndio muda wa kumpa ubalozi ebitoke pia apewe nafasi za ubansa. 5
@
@ashahamisi58845 years agoHahaha usisahau kunisain na mimi katika timu kipigo asha from zanzibar. Ulikokutana na huyo aliekupa jiraha. Unga timu tumpe kichapo.
@
@tausinassibu74735 years agoPole dada, mapenz ndo yalivyo kua makinitu dada huyo shoga we achananaetu kwanza hana mtonyo mariooo lile.
@
@vailethkinabo79615 years agoShikamoo ebitoke huku ar tunasemaga hizo ni machata chata. Unamfanya mtu net. Wanawake wote gim jamani wanaume watanooka lazima watadek na viyombo waoshee. 17
@
@dwiny78415 years agoEbitoke sio mugonjwa uyo Mlela kamuliya pesa amupe pesa zake kunakitu apo uyo Mlela ni umbwa atabaki kuwa umbwa mukiya mbele na nyuma Mlela mjinga huyo kweli leo Sasa Wasoma comments tujuane hapa@bossholland .....Expand59
@
@jaliakamote54855 years agoMmm! Hlo lisauti la mtangazaji nahisi kama ebi anaweza kumvamia akahisi yusuph mlela. Lkn ebitke nzuri kuliko yule pimbi hapo bila mecap lkn kapendeza.
@
@saidasaid58555 years agoMh mahaba bwana miez mitatu ushatowa mahela yote ayo dah ayo c mahaba nahc ujinga. 1
@
@fathiasaed47385 years agoPole ebi yule mlela ana penda kulelewa tu.
@
@kamgomoli36505 years agoMwanaume wa dar anapigwa bit na mwanamke hadi anahama nyumba. Hatari sn.
@
@estermwainyakule47495 years agoPole mama pigania haki yako hata mimi moto hungewaka.
@
@zakyahya46455 years agoDah pole xn ebi unaumia najua ila usha mrarua yule dem nazani hasira zimeisha fanya mambo yako. 20
@
@mayajumaaomaromar83555 years agoTeam kipingo mupo, jamani mwanawake ukiona mwenzako ananyolewa narisha na kichwa chako, mwanaume sio waminifu pole sn ebi. 3
@
@brigitamash20075 years agoPole nimekuelewa kabisa mapenzi yana weza kukuzima maskio ukakosa kuskiza hata mzazi wako.
@
@mamuchahe39385 years agoWanaume hata uwaweke kwenye friji wataharibika tu! 2
@
@ashuraamani26715 years agoHa tem kipigo kwa wale matapeli kama mlela, mimekuelewa sana kinachokusua ebitok matmizi yapesa zako zilizokuwa zikitumika holela na danga la taifa, mlela. ...Expand6
@
@bongotv63845 years agoMimi kama msemaji wa chama cha mabaharianmesikitishwa sana na hili tukio alilofanyiwa bahariasana mabaharia wenzake. 1
@
@linahchuwa45065 years agoNiunge na mm tuko pamoja team kipigo waoyoo, wanaume mtatukoma dada bila kusahau.
@
@jumakapilima56745 years agoMh! Kwa ushauri huo utawaponza wenzako watafungwa!
@
@daniellamutima43345 years agoYoooho koma akuna mwanamuke anahonga mwanaume koma mapenzi yalikuwa zamani sio ya kisasa jamani mufunge mikanda ya kupigana jamani mhhh. 1
@
@ndeitoimevaashi4165 years agoKipgo kiendelee mwisho mwanaume kumuomba mwanamke pesa tah. 2
@
@elizapanga95325 years agoEti mlela na kuokotwa kote huna huruma? Jinga kweli. 1
@
@aishasaid57025 years agoJamani hawa wanaume mm sitasahau kwa kweli cna haja nao. 7
@
@amashbaibe83615 years agoEbitoke you are still very young and you definitely don' t deserve that silly guy. I see you like my daughter you have long way to go and god will bless you with another man uko cute dont worry.
@
@fatumarajabu91755 years agoHahahah acha nicheke yukuwap juma kalokola km ulimsikiy juma piga lak.
@
@tausinassibu74735 years agoAh ebi we toboatu hyo siri mbna si ktambo tunamjua huyo shoga?
Related videos for EBITOKE afunguka sababu za kumvamia Mlela, atoa siri nzito/ningemkatakata:
youre so beautiful than that girl
and youre still young. 35
mpo vizuri. 8