Timu ya wananchi, Yanga SC imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mlandege ya Zanzibar katika mchezo wa kirafiki uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Magoli ya Yanga yamefungwa na Waziri Junior kwa penati pamoja na Mukoko Tonombe. Tazama magoli.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► https://bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
@amosikubyo78894 years agoYanga huu msimu wetu . Yanga tujuane like 10
@
@faizaahamd20524 years agoYanga oyeeeeeeeeeeeeeeeee raha sana Yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeee raha sana ukiwa mwananchi. Hongereni sana vijana wetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 7
@
@dadysteve90964 years agoShuti kali sana kutoka kwa mukoko tonombe 4
@
@Basagamp44 years agoAngalau leo Azam mmejitahidi,hua mnachelewa saaana 4
@
@marrysaimon43304 years agoBonge LA bao, asanteni yanga tupen raha mashabiki wenu 4
@
@nicksomemo97834 years agoKama ww ni yanga damu gonga like hapa, 7
@
@sumahtanzania49914 years agoYanga raha sana najisikia raha si raha hongereni sana vijana wetu ❤❤❤❤❤❤❤❤ 2
@
@albethmligo69464 years agoYanga baba laooo mnaionaje profeshinor tim wana yanga oyeeeee 5
@
@zarunaamwanajimba19504 years agoAshukuru kipa hajaugusa hivyo viganja cjui vingekuwaje maana mpira wa kilo 100 3
@
@nackkitanji62254 years agoYoung african is the greatest team of all time in tz💪 2
@
@paschalmashimba35844 years agoHuo muwa wa mukoko noma Manula ajipange 4
@
@kabamedestrong39174 years agoNdugu zangu Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji naombeni kutazama video yangu kwa kugusa picha yangu I hope utaenjoy nakuomba u subscribe Ahsanteni sana 4
@
@bakariomary3204 years agoSimba mmekula 2-1 msikoment upuuz huku 2
@
@masanjayamakili16184 years agoNinyi simba wenye Timu mliwafunga NGAPl mtibwa sugar?? Au IHEFU?? 1
@
@primutumaini2194 years agoGet prepared our brothers psychologically on 18 October 2020.....something may happen....... 2
@
@hemedmtunguja97884 years agoShentembo ni mazina ya Kaya ivi ngw'eshu hambuuu 2
@
@dennisdennis75594 years agoEti simba imefungwa chaajabu hata mashabik wake hawajui 1
@
@mathiasrumanyika78414 years agoDaaaah kwahyo nauli ya kuja mjini bukoba imepatikana tayari
@highthemetv78574 years ago 👆👆👆👆👆👆 Lifahamu Kabila la DANI Kabila katili 😭ambalo ukifiwa unakatwa vidole kisha vinazikwa na mwili wa marehemu 😭
@
@jumannemihayo55174 years agoUpuuzi mpira umetoka wanapewa penati duuuu waamuzi wetu hawa 1
@
@taswiramedia4 years agoFILM BORA YA KISWAHILI
@
@hktztv65194 years agoTUNDULISU ahaidi kutatua mgogoro wa Wakulima na wafugaji 👇👇👇👇
@
@nass.pofficial40864 years agoNaomba suport zenu Me ni msanii underground nmetoa nyimbo yng munipokee
@
@coasteredward5614 years agoHakuna timu apo zaid ya kikund cha wachezaji
@
@loishiyesamwel13744 years agoMh! Hakuna timu hapo. Mpaka friend March mnapewa penalty ya bure mpira ulishatoka huo.
@
@amosikubyo78894 years agoYanga huu msimu wetu . Yanga tujuane like 10
@
@faizaahamd20524 years agoYanga oyeeeeeeeeeeeeeeeee raha sana Yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeee raha sana ukiwa mwananchi. Hongereni sana vijana wetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 7
@
@dadysteve90964 years agoShuti kali sana kutoka kwa mukoko tonombe 4
@
@Basagamp44 years agoAngalau leo Azam mmejitahidi,hua mnachelewa saaana 4
@
@marrysaimon43304 years agoBonge LA bao, asanteni yanga tupen raha mashabiki wenu 4
@
@nicksomemo97834 years agoKama ww ni yanga damu gonga like hapa, 7
@
@sumahtanzania49914 years agoYanga raha sana najisikia raha si raha hongereni sana vijana wetu ❤❤❤❤❤❤❤❤ 2
@
@albethmligo69464 years agoYanga baba laooo mnaionaje profeshinor tim wana yanga oyeeeee 5
@
@zarunaamwanajimba19504 years agoAshukuru kipa hajaugusa hivyo viganja cjui vingekuwaje maana mpira wa kilo 100 3
@
@nackkitanji62254 years agoYoung african is the greatest team of all time in tz💪 2
@
@paschalmashimba35844 years agoHuo muwa wa mukoko noma Manula ajipange 4
@
@kabamedestrong39174 years agoNdugu zangu Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji naombeni kutazama video yangu kwa kugusa picha yangu I hope utaenjoy nakuomba u subscribe Ahsanteni sana 4
@
@bakariomary3204 years agoSimba mmekula 2-1 msikoment upuuz huku 2
@
@masanjayamakili16184 years agoNinyi simba wenye Timu mliwafunga NGAPl mtibwa sugar?? Au IHEFU?? 1
@
@primutumaini2194 years agoGet prepared our brothers psychologically on 18 October 2020.....something may happen....... 2
@
@hemedmtunguja97884 years agoShentembo ni mazina ya Kaya ivi ngw'eshu hambuuu 2
@
@dennisdennis75594 years agoEti simba imefungwa chaajabu hata mashabik wake hawajui 1
@
@mathiasrumanyika78414 years agoDaaaah kwahyo nauli ya kuja mjini bukoba imepatikana tayari
👆👆👆👆👆👆
Lifahamu Kabila la DANI Kabila katili 😭ambalo ukifiwa unakatwa vidole kisha vinazikwa na mwili wa marehemu 😭
👇👇👇👇
Me ni msanii underground nmetoa nyimbo yng munipokee
👆👆👆👆👆👆
Lifahamu Kabila la DANI Kabila katili 😭ambalo ukifiwa unakatwa vidole kisha vinazikwa na mwili wa marehemu 😭
👇👇👇👇
Me ni msanii underground nmetoa nyimbo yng munipokee